Friday, July 19, 2013

kikao cha wafanyakazi julai 2013

Mkuu wa shule katikati akiteta mara baada ya kufungua mkutano wa walimu.Mkuu wa shule alizungumza kuhusu ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha sita kilichomaliza na kusisitiza kuwa kuanzia tarehe 29/07/2013 walimu waanze kufundisha kwa bidii.
Walimu wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu  wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.
Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.

 Walimu na wafanyakazi wakifuatilia mkutano kwa makini.