Sunday, February 17, 2013

Ziara ya Imberhorne 2011

Waliokwenda kutembelea UK 2011
Mkuu wa shule ya Imberhorne Ndg Jon Ford akiwatambulisha wagni toka Tanzania wakati wa parade ya asubuhi .
Wageni toka Tanzania wakiwa na wenyeji wao.
Wageni toka imberhone wakiwasili Tanzania 2012 na kupokewa na wenyeji wao .Pichani unayemwona ni Mr Ijumba kulia na Mhasibu wa shule Karugendo.
Mr.Jim,Peter white na Miss Georgee wakiwa wamewasili Tanzania 2011
Wanafunzi wa imberhorne na minaki wakiwa paredi.
Mr.Jim akifundisha kidato cha sita.

Siku ya kuwaaga na kuwapa zawadi wageni toka Imberhorne

No comments: